JAA LA TAKA MWAKIRUNGE:MUNGU TU NDIYE ANAYELINDA WANAOISHI HAPA











Ukifika jaa la taka la Mwakirunge,utakutana na watu wanaoishi kwa taabu ya kuchokora uchafu ndani ya jaa hili.








Lakini kutokana na hali ngumu za maisha nchini Kenya na kuzidi kudorora kwa uchumi wa dunia,watu hawa ndani ya jaa hawana tumaini lolote la kufanikiwa na kile kilichobaki na kuvumilia uvundo na harufu mbaya kuendelea kuishi.








Nilikuwa huko na kunasa baadhi ya picha hizi.Tazama ufanye maamuzi.

Comments